Msaada: Kuna mtu amehack simu yangu



Loooh! Asante Mkuu
 


Asante Mkuu nimepata application imesaviwa kama mobile tracker lakini hakuna sehemu naweza uninstall wala kudelete hata nikiforce stop bado inaendelea kurun
 
Asante Mkuu nimepata application imesaviwa kama mobile tracker lakini hakuna sehemu naweza uninstall wala kudelete hata nikiforce stop bado inaendelea kurun
Nenda setting,app,running,then itafute huko utapata pa ku unstall
 
Hivi unaweza kuhack no ya mtu bila kutumia cm yake kuinstall no yake
 
Sasa kama kila unachofanya kwenye simu wanaelewa si hata hii post yako ameshasoma na a aendelea kusoma hizo comments?

Kutokana na hayo unadhani njia mpya tutakayokupa una uhakika gani hataifaham na UTACHOMOKA kweli? @rubii
 
Asante Mkuu nimepata application imesaviwa kama mobile tracker lakini hakuna sehemu naweza uninstall wala kudelete hata nikiforce stop bado inaendelea kurun
uNatumia sim gani?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Asante Mkuu nimepata application imesaviwa kama mobile tracker lakini hakuna sehemu naweza uninstall wala kudelete hata nikiforce stop bado inaendelea kurun
remove SmartApplock kwenye simu yako kisha uendelee na hatua uliyokuwa umefikia
 
Sasa kama kila unachofanya kwenye simu wanaelewa si hata hii post yako ameshasoma na a aendelea kusoma hizo comments?

Kutokana na hayo unadhani njia mpya tutakayokupa una uhakika gani hataifaham na UTACHOMOKA kweli? @rubii


Ingekua wewe ungelifanyaje Ndugu??
 
Umefanya nlivyo kuelekeza rubii???


Kwakweli nimehangaika kila njia niliyoelekezwa nimeshindwa na amegundua nahangaika labda nikarenew namba tu
 
Asante Mkuu nimepata application imesaviwa kama mobile tracker lakini hakuna sehemu naweza uninstall wala kudelete hata nikiforce stop bado inaendelea kurun
Niliwahi kudownload application na baada ya kuidownload ilikataa kuunistall lakini baada ya kuhangaika sana nilipata. Kama sikosei nenda kwenye sehemu ya running apps utaiona na hapo itakubali kuiuninstal
 
Nenda setting,app,running,then itafute huko utapata pa ku unstall
Yeah nilishakutana na kitu kama hicho ilinihangaisha sana lakini kama ulivyosema nilifanikiwa kwa njia hiyo.
 
settings>app manager> utaona list ya apps zote kwenye simu yako, then click ktk hiyo mobile tracker then uninstall
 
fanya factory reset ndo kiboko yake kuna app atakua ameweka kwenye cm yako kwa siri na zipo kibao tu playstore
 
settings>app manager> utaona list ya apps zote kwenye simu yako, then click ktk hiyo mobile tracker then uninstall
Kwa hapo kama ameificha utaiona tu lakini hutaweza kuiunistall maana hakuna option ya kufanya hivyo. Aende kwenye running apps ndio ataweza kuiunistall.
 
Kwa hapo kama ameificha utaiona tu lakini hutaweza kuiunistall maana hakuna option ya kufanya hivyo. Aende kwenye running apps ndio ataweza kuiunistall.
kama iwefichwa then atafute hidden apps, ndo maana nilimuuliza anatumia simu aina gani lakini yupo kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…