yanga siku zote wakiwa na mgogoro wana uwezo wa kuwafunga simba ni zaidi ya mara nne (4) yanga wamewahi kuifunga simba wakiwa na mgogoro mkubwa siyo kama huu wa leo, ugomvi wa leo ni mdogo sana ukilinganiswa na ule wa mpondela na kamati yake ya ufundi hadi na baraza la wazee lakini walipofika siku ya simba tu waliweza kushida goli tatu kwa moja(3-1) sasa hawa yanga hawana jipya simba wameweza kuwafunga timu ngumu za afrika yanga ni nani katika afrika hii asiyeweza kufunga na simba??
kioyu FC=3-0,JKT RUVU 3-0, RUVU SHOOTING 3-0, AL SATIF 3-0, ,hawa WASUDAN 3-0 MORO 3-0 sasa yanga ni nani? wewe kwa akiri yako timamu unaweza ukampanga chuji na okwi ?? hii si balaa ? tusitafuta mchawi simba balaa ni wazuri jamaa wajipanga toka mwanzo. tutengeneze timu kwa sasa siyo marumbano tuu , kagame cup hiyoooo inakuja tutagonga 7 bila yaha mimi yangu ni hayo tu.