Msaada : kujitoa chama cha walimu Tanzania

Msaada : kujitoa chama cha walimu Tanzania

Kipindi cha uchaguzi walimu wanajua upuuzi walioufanya,posho imekata sasa ni wakati wa malalamiko
 
Naskia ukiwa mwalimu bc umeshajiunga automatically
 
Mkuu uchaguzi huu huwezi kuwalaumu walimu kabisa
Tatawalaumu kwasababu hamkatoa mchango wowote wakati nyinyi mlikuwa wasimamizi na mawakala wa upande wa bwana mkubwa,,,
Toeni elimu kwa wananchi haki zao ni zipi na wananchi watakuwa mstari wa mbele kuwatetea
 
Back
Top Bottom