CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,784
- 6,178
Wadau,
Heri ya mwaka mpya, Bila shaka humu wapo watu mbali mbali,
Naombeni msaada wa kujitoa kwenye hili JINI nyonyaji CWT
Nataka kujitoa kwasababu zifuatazo:
1. Chama hakina msaada wote kwangu zaidi ya kukata %2
2. Mwaka wa 7 huu hakuna daraja wala nyongeza chama lipo tuu.
3. Mapato na matumizi ya miradi ya chama haijulikani
4. Chama haijulikani kinatetea maslahi ya mwajiri au mwanachama.
5. Chama kimeshindwa kutoa majibu ya kueleweka kuhusu madai ya wanachama
Heri ya mwaka mpya, Bila shaka humu wapo watu mbali mbali,
Naombeni msaada wa kujitoa kwenye hili JINI nyonyaji CWT
Nataka kujitoa kwasababu zifuatazo:
1. Chama hakina msaada wote kwangu zaidi ya kukata %2
2. Mwaka wa 7 huu hakuna daraja wala nyongeza chama lipo tuu.
3. Mapato na matumizi ya miradi ya chama haijulikani
4. Chama haijulikani kinatetea maslahi ya mwajiri au mwanachama.
5. Chama kimeshindwa kutoa majibu ya kueleweka kuhusu madai ya wanachama
