utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 990
- 800
Habari za jioni/usiku wakuu Nilinunua simu ya Android ya ideos mda kidogo hapa Dar nimeshaifanyia kila aina ya customization rooting, roming kila kitu now naombeni msaada kidogo wakunieleza sehemu gani hapa Dar naweza Kuiunlock Ideos na bei yake maana naona mtandao wa tigo aufai Hsdpa speed napata 0.02mbps na aipandi huu siujinga bora nikapande basi letu lekundu la airtel ..