Adimu
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 655
- 284
Habari za wakati huu wanafamilia wa JF,
Naomba muongozo mwenye kufahamu juu ya vibali na taratibu za kufuata pindi mtu anapotaka kufanya biashara ya kusafirisha mkaa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, (Morogoro to Dar es Salaam) pia na changamoto za biashara hii kwa wale wajuzi wa hii biashara tusaidiane.
Naomba muongozo mwenye kufahamu juu ya vibali na taratibu za kufuata pindi mtu anapotaka kufanya biashara ya kusafirisha mkaa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, (Morogoro to Dar es Salaam) pia na changamoto za biashara hii kwa wale wajuzi wa hii biashara tusaidiane.