Msaada kuhusu tv zenye ving'amuzi vya ndani..

Msaada kuhusu tv zenye ving'amuzi vya ndani..

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
15,894
Reaction score
36,288
Wakuu nimeambiwa unaweza tumia antena tu kupata channels je ni kweli?
Vipi kunahitajika ujuzi wowote wa kuinstall na kupata hizo channels.
Na kama zinapatikana ni channels zipi na hizo antenna zinauzwaje!?

Asanten
 
Ok. Ni kweli ving'amuzi vya ndani vipo na vinafanya kazi. Vipo vya aina mbili, DVB T2 na DVB S2.

Ukikuta tv imeandikwa ina DVB T2 basi hiyo inaweza shika kwa antena tu, mji mkubwa kama Dar. Unatundika antena nje na kusechi...unapata bure baadhi ya channel za ndani. Antena nzuri ni za startimes.

Tv ikiwa na DVB S2 basi inaweza shika kwa dish. Hapa ukifunga dish kubwa la futi 6 au zaidi unapata bure itv, eatv, capital, tbc. Unaweza geuza uelekeo wa dishi ukapata channel ten, tve, startv. Pia, unaweza ongeza channel za nje. Hii ni kokote, mjini au kijijini.

Pia, DVB S2 zinaruhusu kutumia huduma za startimes na Azam kwa kununua kadi tu.

Unafunga dishi dogo tu halafu unanunua kadi tu kwao, wanakusajili, unachomeka kadi kwenye tv basi channel zote zinakuja kulingana na kifurushi utakacholipia.

Tv zenye DVB T2 ni antena tu ila zenye DVB S2 mara nyingi zina T2 ndani yake (2 in 1).
 
Ok. Ni kweli ving'amuzi vya ndani vipo na vinafanya kazi. Vipo vya aina mbili, DVB T2 na DVB S2.

Ukikuta tv imeandikwa ina DVB T2 basi hiyo inaweza shika kwa antena tu, mji mkubwa kama Dar. Unatundika antena nje na kusechi...unapata bure baadhi ya channel za ndani. Antena nzuri ni za startimes.

Tv ikiwa na DVB S2 basi inaweza shika kwa dish. Hapa ukifunga dish kubwa la futi 6 au zaidi unapata bure itv, eatv, capital, tbc. Unaweza geuza uelekeo wa dishi ukapata channel ten, tve, startv. Pia unaweza ongeza channel za nje.

Pia DVB S2 zinaruhusu kutumia huduma za startimes na Azam kwa kununua kadi tu.

Unafunga dishi dogo tu halafu unanunua kadi kwao, wanakusajili, unachomeka kadi kwenye tv basi channel zote zinakuja kulingana na kifurushi utakacholipia.

Tv zenye DVB T2 ni antena tu ila zenye DVB S2 mara nyingi zina T2 ndani yake (2 in 1).
Hilo tobo la kutia kadi mboni silioni!
 
Ok. Ni kweli ving'amuzi vya ndani vipo na vinafanya kazi. Vipo vya aina mbili, DVB T2 na DVB S2.

Ukikuta tv imeandikwa ina DVB T2 basi hiyo inaweza shika kwa antena tu, mji mkubwa kama Dar. Unatundika antena nje na kusechi...unapata bure baadhi ya channel za ndani. Antena nzuri ni za startimes.

Tv ikiwa na DVB S2 basi inaweza shika kwa dish. Hapa ukifunga dish kubwa la futi 6 au zaidi unapata bure itv, eatv, capital, tbc. Unaweza geuza uelekeo wa dishi ukapata channel ten, tve, startv. Pia unaweza ongeza channel za nje.

Pia DVB S2 zinaruhusu kutumia huduma za startimes na Azam kwa kununua kadi tu.

Unafunga dishi dogo tu halafu unanunua kadi kwao, wanakusajili, unachomeka kadi kwenye tv basi channel zote zinakuja kulingana na kifurushi utakacholipia.

Tv zenye DVB T2 ni antena tu ila zenye DVB S2 mara nyingi zina T2 ndani yake (2 in 1).
Hadi mikoani inashika? Mfano geita
 
Ok. Ni kweli ving'amuzi vya ndani vipo na vinafanya kazi. Vipo vya aina mbili, DVB T2 na DVB S2.

Ukikuta tv imeandikwa ina DVB T2 basi hiyo inaweza shika kwa antena tu, mji mkubwa kama Dar. Unatundika antena nje na kusechi...unapata bure baadhi ya channel za ndani. Antena nzuri ni za startimes.

Tv ikiwa na DVB S2 basi inaweza shika kwa dish. Hapa ukifunga dish kubwa la futi 6 au zaidi unapata bure itv, eatv, capital, tbc. Unaweza geuza uelekeo wa dishi ukapata channel ten, tve, startv. Pia, unaweza ongeza channel za nje. Hii ni kokote, mjini au kijijini.

Pia, DVB S2 zinaruhusu kutumia huduma za startimes na Azam kwa kununua kadi tu.

Unafunga dishi dogo tu halafu unanunua kadi tu kwao, wanakusajili, unachomeka kadi kwenye tv basi channel zote zinakuja kulingana na kifurushi utakacholipia.

Tv zenye DVB T2 ni antena tu ila zenye DVB S2 mara nyingi zina T2 ndani yake (2 in 1).
Asante mkuu kwa maelezo mazuri..
Yangu imeandikwa DVB-T/T2 then naona ina sehemu ya kadi na matundu mawili ya LNb na Antena...

Samahan tena hizo Antena za Startimea zinauzwa peke yake? Na ni bei gani?
 
Wakuu nimeambiwa unaweza tumia antena tu kupata channels je ni kweli?
Vipi kunahitajika ujuzi wowote wa kuinstall na kupata hizo channels.
Na kama zinapatikana ni channels zipi na hizo antenna zinauzwaje!?

Asanten
TV zenye ving,amuzi mimi ninazo tatu sanyo, Philips na legacy lakini moja ndio inakubali dish na antena(legacy) bila kingamuzi, kwa antenna channel ninazopata ni:
1Capitol
2- ITV
3- TBC
4- STAR TV
5- CLOUD TV
6-ETV
7- ALJAZIRA
8- CITIZEN
9- EMANUEL TV.
hiyohiyo tv aina ya Lagency, kwa kutumia dish mwelekeo wa STAR TIME na Zuku nina pata channel nyingi sana zote za nje kwa muelekeo wa France Satellite
 
TV zenye ving,amuzi mimi ninazo tatu sanyo, Philips na legacy lakini moja ndio inakubali dish na antena(legacy) bila kingamuzi, kwa antenna channel ninazopata ni:
1Capitol
2- ITV
3- TBC
4- STAR TV
5- CLOUD TV
6-ETV
7- ALJAZIRA
8- CITIZEN
9- EMANUEL TV.
hiyohiyo tv aina ya Lagency, kwa kutumia dish mwelekeo wa STAR TIME na Zuku nina pata channel nyingi sana zote za nje kwa muelekeo wa France Satellite
Mkuu antena zinauzwaje? Naweza pata kkoo?
 
Mkuu antena zinauzwaje? Naweza pata kkoo?
Mkuu antenna hizi zakawaida tu, na ukiwa sehemu nzuri hata vile vidogo viantenna va mezani, vinakubali
1.jpg
statimes-antenna.jpg
 
Ngoja nikatest Tv yangu ni smart Hisense pia inaweza kuwa na hii kitu
 
Back
Top Bottom