korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,071
- 1,308
Duuuh asante sana mkuu, na hapo nilitaka kutafuta na yamaha tower speakers kila moja inapeleka 145 watts rms, ziwe 2 na av receiver ya denon ya watss 600 ambayo ni 7 channels, inatoa 170 watts per channel, then sound processer pamoja na amplifier/ booster ya watss 700, nafikiri hapo shughuli itakuwa imeishaHuko umeenda mbali ..punguza chukua pioneer ya 400w rms , 1400w peak hii ni 130k inaeza shuka had 120k box ni elf 90 wao wakiuza jumla ni laki mbili na nusu ukiunga unga bei inashuka
Hio nayo ni hatari haichagui sehemu hata ukiweka nje utafurahi ndan ndo kabisa sio lazima uitege eti kwenye kona ukutani![]()