NEMEZIZ
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 563
- 335
Habari za muda huu wajuvi. Nawasilisha hii changamoto japo simu imenunuliwa mkononi bila kujua tatizo naomba msaada niweze kulitatua.
Matatizo yake ni muda mwingine inaleta notification ya No Service kwa upande wa line moja, na siwezi kupiga wala kupigiwa hapo juu niliuliza salio na hiyo ndio notification wanayonipa.
Nitashukuru endapo nitapata msaada kwa hili tatizo