Msaada kuhusu rpm kwenye Pikipiki

msuyaeric

JF-Expert Member
Dec 18, 2014
838
1,167
Wakuu Habari zenu naomba Msaada ya rpm, pikipiki yangu Ile Cc110 nimekuwa nashindwa kuelewa je rpm ina umuhimu gani na ina Msaada gani kama Dereva?

Mfano nikiwa kwenye speed ya 50 rpm inakuwa kwenye 4 na jinsi navyovuta Mfano nikaenda speed 70 rpm inakuwa kwenye 6 je hiyo ina maana gani?
 
Wakuu Habari zenu naomba Msaada ya rpm, pikipiki yangu Ile Cc110 nimekuwa nashindwa kuelewa je rpm ina umuhimu gani na ina Msaada gani kama Dereva? Mfano nikiwa kwenye speed ya 50 rpm inakuwa kwenye 4 na jinsi navyovuta Mfano nikaenda speed 70 rpm inakuwa kwenye 6 je hiyo ina maana gani?

Inaandika hiyo 4 au huyo 6 kwenye kipimo gan mkuu?
 
Afadhali wenye vyombo vinawaonesha kabisa, sie wengine tunatumia sauti tu. Shukuru mmerahisishiwa.

Rpm ni jinsi unavyoilazimisha injini izungushe chombo.
Kadri inavyokuwa kubwa basi ujue injini ndio inafanya kazi kubwa.
Inashauriwa usiilazimishe sana kwa muda mrefu inachemka zaidi na kuchoka haraka zaidi.
Baadhi ya dashboard watakuwekea hadi rangi nyeupe kijani njano na nyekundu. Pazuri ubalansi moto uwe wastani wa kijani zaidi na usipende kuchezea pekundu kwa muda mrefu.
Rotation Per Minute RPM.
 
Back
Top Bottom