Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,114
- 1,485
Habari zenu ndugu zangu,
Ukweli siko poa kiakili.
Kutokana na hali ngumu kiuchumi nilijaribu kukatisha play store kutafuta app inayotoa mkopo online ndipo nikakutana na hawa jamaa wanaojiita Nikopeshe Microfinance.
Nikafuata taratibu zote nilipofika kwenye fomu ya kuomba mkopo nikaambiwa nilipe 4850 kwenye namba 0699890806 nikatuma then after few hours kweliiiii nikapewa fomu nikaijaza na kuirejesha.
Nikaambiwa nichague njia ya kupokea mkopo wangu nikajaza kila kitu nakuja kuhamaki naletewa tena fomu nyingine ya Kiapo pamoja na Wadhamini ambapo natakiwa nilipe 10250, nimelipa tangu asubuhi naona kimyaa.
Naomba kwa yeyote anaewajua hawa jamaa anitoe wasiwasi au anithibitishie kuwa nimetapeliwa nianze kulia.
View attachment 2347803View attachment 2347804View attachment 2347806View attachment 2347807
Ukweli siko poa kiakili.
Kutokana na hali ngumu kiuchumi nilijaribu kukatisha play store kutafuta app inayotoa mkopo online ndipo nikakutana na hawa jamaa wanaojiita Nikopeshe Microfinance.
Nikafuata taratibu zote nilipofika kwenye fomu ya kuomba mkopo nikaambiwa nilipe 4850 kwenye namba 0699890806 nikatuma then after few hours kweliiiii nikapewa fomu nikaijaza na kuirejesha.
Nikaambiwa nichague njia ya kupokea mkopo wangu nikajaza kila kitu nakuja kuhamaki naletewa tena fomu nyingine ya Kiapo pamoja na Wadhamini ambapo natakiwa nilipe 10250, nimelipa tangu asubuhi naona kimyaa.
Naomba kwa yeyote anaewajua hawa jamaa anitoe wasiwasi au anithibitishie kuwa nimetapeliwa nianze kulia.
View attachment 2347803View attachment 2347804View attachment 2347806View attachment 2347807