Habari zenu ndugu zangu,
Ukweli siko poa kiakili.
Kutokana na hali ngumu kiuchumi nilijaribu kukatisha play store kutafuta app inayotoa mkopo online ndipo nikakutana na hawa jamaa wanaojiita Nikopeshe Microfinance.
Nikafuata taratibu zote nilipofika kwenye fomu ya kuomba mkopo nikaambiwa...
Habari wana JF,
Kuna mtu yeyote humu anayeifahamu au aliyewahi kuitumia hii App ya Nikopeshe?
Wanatoa mikopo bila riba na unachohitaji ni namba ya NIDA tuu.
Ushauri wenu tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.