jakomala
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 514
- 367
Mm nilikuwa mwanachama wa shirika la bima ya ELIMU kwa miaka mitano(5) ambapo nilichagua sum assured ya milioni mbili(2000000) Bima yangu iliiva toka mwezi wa tano 2019 ,Nilishaenda nikaandika barua ya kusitisha makato pia wanilipe hela yangu kwa kuzingatia kikokotoo cha kupara riba maana ni kama vile niliwekeza,sasa ni miezi 4 imepita bila response yoyote .
NAOMBENI MSAADA NI JINSI GANI NIWAINGILIE KISOMI ILI WASHATUKE WAJUE HUYU MTU NI MJANJA TUMLIPE HELA YAKE.
NAOMBENI MSAADA NI JINSI GANI NIWAINGILIE KISOMI ILI WASHATUKE WAJUE HUYU MTU NI MJANJA TUMLIPE HELA YAKE.