Msaada kuhusu NACTE

Msaada kuhusu NACTE

de hunter

Member
Joined
Apr 18, 2016
Posts
93
Reaction score
57
Habari zenu wakuu
Naomba msaada kuhusu nacte kutokana na kua niliapplay diploma in primary education inanionesha sijachaguliwa lkn ktk vyuo vyote inanionesha ninanafasi nisubiri second selection. Na ktk hivyo vyuo idadi ya walioomba ni kubwa kuliko uwezo wa vyuo sasa nashindwa kuelewa je niapplay tena au nifanyaje
Ushauri wenu Tafadhali niko njia panda
 
Tatizo letu huwa tunapenda kufuata mkumbo huwa tukisikia koz plan ina toa ajira bas wote tunataka twende huko koz zote zinatoa ajira ila tu inategemea ufaulu wako koz kama education and health ni koz ambazo zina ushindan mkubwa sana sasa wewe umepewa last chance bado unakomaa na hyo primary education utakuja kujikuta patupu subiria hvyo hvyo unatakiwa uchague na koz zengne ili usiangukie pua
 
Back
Top Bottom