Ahsante kwa ushauriNi mkoa ambao unapaswa kuwa makini. Ukiwatazama kama washamba ila wana mambo.Usipende umbeya,uchokozi,kurukia mambo hovyohovyo nk.Kuwa mwangalifu.Ishi maisha ya kawaida mji usikumeze bila huruma. Hata starehe zipo.
Nimeshasoma Mkuu, shukraniMkuu hebu soma na hapa
Yaliyonikuta Tabora
Ungenifafanulia kidogo hapo kwa "wake za watu hawana maana " na "wanakaa watu hvyo sana"Mkuu, kuwa makini na mkoa huo. Ni mkoa wa hovyo na wanakaa watu hovyo sana tena wanawake zao hawana maana kabisa. Fata kilichokuepeleka. Namalaga onene ngosha
Huu Uzi wapenda biashara ngoja tukae pembeni maana hapa ushauri ulio jaa ni uzinzi na uchawi. Mr T.Bagwell huko tabora ukawe makini naona fursa ni kiduchu sana.Utahonga hadi nauli ya kurudia ulipo toka
Acha umbea mtoto wa kiume utakuja haribiwa. mmepewa msaada halafu unaanza kuleta matusi na Dharau kwa wenyeji wako.Kimsingi mji ambao maisha ni cheap sana kutokana na mzunguko wa hela ni mdogo, wakazi ni 'waswahili'-wanapenda kuchunguzana maisha, washirikina, maneno mengi, wapenda starehe. Epuka wake za watu sbb utarogwa, mabinti kule wanatabia ya kung'ang'ania wanaume wageni sbb ya ugumu wa pesa, na mapenzi wanajua sema unaweza usichomoke ukiingia.. Kule hata buku 5 unapiga mzigo.
Acha umbea mtoto wa kiume utakuja haribiwa. mmepewa msaada halafu unaanza kuleta matusi na Dharau kwa wenyeji wako.
Acha umbea mtoto wa kiume utakuja haribiwa. mmepewa msaada halafu unaanza kuleta matusi na Dharau kwa wenyeji wako.
mbona vitisho ni vingi kuliko
kama unaona vitisho vingi acha kazimbona vitisho ni vingi kuliko
Huelew ni kwa nini polisi wanauliza, pale Tabora watu waliozamia toka Burundi, Rwanda, DRC kuptia Kigoma ni wengi hivyo ni kawaida sana, huko Kigoma hujafika ila kuna barriers kila baada ya kilomita3Tabora bado primitive sana. Mpaka leo hii utakuta ukikutana na polisi unaulizwa kitambulisho.....
Kama huna wanakuweka lupango kwa kesi ya uzururaji.....
Ongeza pia PPP garden karibu na hosp. ya rufaa ya Mkoa wa Tabora - Kitete.Police mess