Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,823
Abuja ni aina ya chakula,kinachanganywa ndizi na kuku vinachemshwa pamoja kama sikosei,ni tamu hatari sanaSawa Mkuu na hizi terminologies unaweza nifafanulia? Abuja, makuku ya kizungu,
Abuja ni aina ya chakula,kinachanganywa ndizi na kuku vinachemshwa pamoja kama sikosei,ni tamu hatari sanaSawa Mkuu na hizi terminologies unaweza nifafanulia? Abuja, makuku ya kizungu,
Hata mnada hujui mkuu?Mnaniacha njia panda wakuu "mnada" mi sielewi
Wengine wanaita gulioMnaniacha njia panda wakuu "mnada" mi sielewi
Utahonga hadi nauli ya kurudia ulipo tokaUsalama upo wa aina nyingi mkuuungenifafanulia kidogo
Police messVinapatikana maeneo gani mkuu?
Ni mkoa ambao unapaswa kuwa makini. Ukiwatazama kama washamba ila wana mambo.Usipende umbeya,uchokozi,kurukia mambo hovyohovyo nk.Kuwa mwangalifu.Ishi maisha ya kawaida mji usikumeze bila huruma. Hata starehe zipo.Mkuu mbona umeniacha gizani? ?![]()
Mkuu hebu soma na hapaHabari wana jf?
Natarajia kuelekea mkoa wa Tabora kikazi hivi karibuni
Sijawahi kufika mkoa huo kabla
Sasa naomba msaada wenu wana jf kuhusu mazingira,mandhari na watu wa mkoa huo. ... nini chakufanya, nini chakutokufanya na vingine vingi ambavyo unaweza ukahisi vitanipa mwangaza juu ya mkoa huo
Ahsanteni!
Kimsingi mji ambao maisha ni cheap sana kutokana na mzunguko wa hela ni mdogo, wakazi ni 'waswahili'-wanapenda kuchunguzana maisha, washirikina, maneno mengi, wapenda starehe. Epuka wake za watu sbb utarogwa, mabinti kule wanatabia ya kung'ang'ania wanaume wageni sbb ya ugumu wa pesa, na mapenzi wanajua sema unaweza usichomoke ukiingia.. Kule hata buku 5 unapiga mzigo.
mbona vitisho ni vingi kulikoTabora usafiri bajaji,pikipiki na baiskeli kwa wingi ,daladala chache mno
Ipuli mnadani usikose kwenda kuna nyama tamu za kuchoma.
Kitimoto kuna sehemu yake,ukifika ipuli ulizia ee bana weee kitu cha maana(sorry kama hautuagi hii)
ni mtumiaji mzuri tuu