wana jf na docta.hivi hizi mimba kila mwanamke anaweza kupandikiziwa?au kunamazingira yanaweza kusababisha ishindikane kwa wengine?na mwanamke aliepandikizwa mwili wake utatengeneza maziwa na atanyonyesha akizaa au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.