X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,647
- 12,215
- Thread starter
- #261
Nilisafiri kwa tabu...kwa piki piki...nilinyeshewa na mvua...ilikuwa shida ila namshukuru Mungu miche yote ilifika salamaIlikua nanini mkuu mpaka hutaisahau
Nilisafiri kwa tabu...kwa piki piki...nilinyeshewa na mvua...ilikuwa shida ila namshukuru Mungu miche yote ilifika salamaIlikua nanini mkuu mpaka hutaisahau
Mche hadi mche ni urefu/umbali gani??Nimepanda kwa interval¿ hapo sikuelewa nidadavulie
Mche hadi mche ni urefu/umbali gani??
Na Mstari hadi mstari ni urefu/umbali gani??
Mkuu sio umekula Open Space ya Serikali aisee??Kwakweli siku zingatia hilo...kwani ndio ilikuwa mara yangu ya kwaNza kufanya kilimo...ila kuna project nyingine naenda kuianza wiki hii nadhani itazingatia vigezo vyote vya vipimo
Eneo langu hilo mkuu...hapo serikali haina chakeMkuu sio umekula Open Space ya Serikali aisee??
Ile picha ya juu ya BEFORE inafanania kama Open Space au Kiwanja cha michezo,Eneo langu hilo mkuu...hapo serikali haina chake
Karibu sana hapo ni kitunda Dar es salaam...Ile picha ya juu ya BEFORE inafanania kama Open Space au Kiwanja cha michezo,
Anyway, ushaanza kupanda, ni wapi huko?? naweza kufanya study tour??
Poa poa, na water source yako ni nini??Karibu sana hapo ni kitunda Dar es salaam...
Naanza kupanda kesho Mungu akijaalia...hivyo karibu sana ndugu
Lipo bomba kati kati ya eneo...uwezekano wa kuchimba kisima hapo ni mkubwa kuna chemchem ipo kina kifupi sana....ila niliona kuvuta bomba nitatunza ardhi japo gharama zitakuwa endelevu kwa supplier wangu wa majiPoa poa, na water source yako ni nini??
Poa kaka, tutachekiana laterLipo bomba kati kati ya eneo...uwezekano wa kuchimba kisima hapo ni mkubwa kuna chemchem ipo kina kifupi sana....ila niliona kuvuta bomba nitatunza ardhi japo gharama zitakuwa endelevu kwa supplier wangu wa maji
Karibu sana...ndugu yanguPoa kaka, tutachekiana later
Nilimdikiliza kwa kina mtaalam wa Kilimo kupitia radio anasema kwa mavuno mengi zaidi inashauriwa kupanda mbegu za nyanya moja kwa moja shambani kuliko kuanzia kitaluni.Kutoa elimubkwa wakulima wa mazao ya mboga free of charge ,ni project inafanya shamba darasa ya kufundishia wakulima ,karibu sana
KUPANDA KWENYE KITARU KUNAKUPA UHAKIKA WA MICHE KWA KUWA WAKATI WA KUPANDIKIZA UTACHAGUA MICHE YENYE AFYA....ILA NI VIGUMU SANA KUANGALIA MICHE YOTE UKIWA TEYARI UMESHA IPANDA MOJA KWA MOJA....HIVYO ANGALIA UNACHOONA WEWE INAFAA VYOVYOTE UTAKAVYOAMUA NDIVYO SAHIHI FANYA UKIONA MATOKEO NI MABAYA FANYA KWA KINYUME CHAKENilimdikiliza kwa kina mtaalam wa Kilimo kupitia radio anasema kwa mavuno mengi zaidi inashauriwa kupanda mbegu za nyanya moja kwa moja shambani kuliko kuanzia kitaluni.
Je inafaa?
Kwa miche sikushauri ata kidogo watz siku hizi si waaminifu wanaweza kukuuzia miche ambayo huku ihitaji mfano unataka mbegu fupi yeye akupe ndefu au kinyume chake...nunua mbegu na hata kwenye mbegu pia labda utembelee shamba la rafiki yako kisha ukivutiwa na mazao kutoka kwenye shamba la huyo rafiki ndo akuelekeze ukanunue mbegu kama yakeVipi Kaka,kwa Dar Wap Ntapjta Sehem Wanauza Miche Ya Nyanya F1?
Nilimdikiliza kwa kina mtaalam wa Kilimo kupitia radio anasema kwa mavuno mengi zaidi inashauriwa kupanda mbegu za nyanya moja kwa moja shambani kuliko kuanzia kitaluni.
Je inafaa?
nilinunua mbegu ya tikiti maji asali f1 mwanza sitasahau matunzo yangu yalienda bure nilishikishwa mbegu feki sina hamuHuku kwetu ukitaka mbegu nzuri ni kuagiza kenya angalau wako na uhakika ,soko la mbegu kiujumla limevamiwa sijui labda huko uliko mkuu