Double line
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 365
- 812
Mkuu mbna Kama mnatupiga na kitu kizito
MULIPIE TANGAZO MUSITUONE WOTE WATOTO
MULIPIE TANGAZO MUSITUONE WOTE WATOTO
😁😁😁😁Mkuu mbna Kama mnatupiga na kitu kizito
MULIPIE TANGAZO MUSITUONE WOTE WATOTO
Katika kilimo asilimia 10 ya gharama ni mbegu na asilimia 90 ni huduma ,ukiweka mbegu ya kubahatisha remember 90 percent iko pale pale utakua unaanda hasara so ni bora usifanye bahati nasibu wewe chukua mbegu bora panda na hudumia vyema ,hope umenielewa