Msaada kuhusu mbegu za nyanya

Wazo zuri kwaio soko zur la nyanya linakuwa mwez wa ngapi na wa ngapi ukiacha huu wa 9 unaokuja?
Soko zuri ni mwezi huo wa 9 hadi mwezi wa 3 na wa nne mwanzoni....ila ukiwa na soko maalum mfano hotelini....supermarket....unaweza ukalima kipindi kingi kwa order maalum
 
58446cf91a7bcc233de038a3e2233524.jpg
c4da341ffc8846bc4d85efc2129c98e7.jpg

Kupatwa kwa shamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom