Princess qute
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 621
- 551
Ila changamoto zinakuwa ndogo ukilingnisha na nyanya?Hilo ni miezi 8 ...9...hadi 10
Ila changamoto zinakuwa ndogo ukilingnisha na nyanya?Hilo ni miezi 8 ...9...hadi 10
Soko zuri ni mwezi huo wa 9 hadi mwezi wa 3 na wa nne mwanzoni....ila ukiwa na soko maalum mfano hotelini....supermarket....unaweza ukalima kipindi kingi kwa order maalumWazo zuri kwaio soko zur la nyanya linakuwa mwez wa ngapi na wa ngapi ukiacha huu wa 9 unaokuja?
Asante Mungu akubarikiSoko zuri ni mwezi huo wa 9 hadi mwezi wa 3 na wa nne mwanzoni....ila ukiwa na soko maalum mfano hotelini....supermarket....unaweza ukalima kipindi kingi kwa order maalum
Kiukweli mimea karibia yote ina changamoto....kwani mingi hushambuliwa na wagonjwa....vivo hivyo kwa Tangawizi nayo hishambuliwa vile vileIla changamoto zinakuwa ndogo ukilingnisha na nyanya?
Njoo ujifunze kilimo cha NyAnYa soma hapo kuhusu kilimo cha nyanyaIla changamoto zinakuwa ndogo ukilingnisha na nyanya?
Sawa asante nitaanza mambo yakikaa sawaKiukweli mimea karibia yote ina changamoto....kwani mingi hushambuliwa na wagonjwa....vivo hivyo kwa Tangawizi nayo hishambuliwa vile vile
Asante sanaNjoo ujifunze kilimo cha NyAnYa soma hapo kuhusu kilimo cha nyanya
Sawa, huyo jamaa alikuuzia mbegu za Rio grand
Bado kidogo....karibu sana
Asila iko vizuri inavumilia magonjwa na uhaba wa maji lakini inazaa mazao kidogo. Panda eden itakuokoa inazaa vizuri. Morogoro sahivi ndoo ya nyanya sh ngpkuna hizi mbegu zinaitwa ASSILA nasikia ndio mkombozi kwa wakulima hasa wa morogoro
Rio grand ndio nini naomba unifafanulie...ndugu yangu...Sawa, huyo jamaa alikuuzia mbegu za Rio grand
Eden ndio hii inayozalishwa na Balton¿Asila iko vizuri inavumilia magonjwa na uhaba wa maji lakini inazaa mazao kidogo. Panda eden itakuokoa inazaa vizuri. Morogoro sahivi ndoo ya nyanya sh ngp
Tafuta mbolea za mult K upige ili kuboresha matunda
Kupatwa kwa shamba
Asante. Ila naomba kujua kuhusu rio grand mkuu ndio mbegu za aina gani...¿Au finisher
Rio grand ni mbegu za nyanya ambazo sio hybrid kama assila f1 eden..au kama zile za riz wan!!Asante. Ila naomba kujua kuhusu rio grand mkuu ndio mbegu za aina gani...¿
Dah...umezitambuaje mkuu...maana hizi wameniuzi...RIJK ZWAAN...wameniambi Ni F1Rio grand ni mbegu za nyanya ambazo sio hybrid kama assila f1 eden..au kama zile za riz wan!!
Ni komoni na inatumika na wakulima wengi!
Riz wan mbegu zao ni hybrid kama ilivyo za eden...assila...Dah...umezitambuaje mkuu...maana hizi wameniuzi...RIJK ZWAAN...wameniambi Ni F1