X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,647
- 12,215
- Thread starter
- #241
Umewatetea mkuu...niambie ukweli hawakuniuzia mbegu....nilinunua micheRiz wan mbegu zao ni hybrid kama ilivyo za eden...assila...
Kujua kwa macho ngumu...ila ukisoma kwenye pakti utaona imeandikwa hybrid au f1!! Hii inamaanisha ni hybrid seeds!