apprentice1997
Senior Member
- Jun 8, 2016
- 107
- 99
Habari za jioni wakuu, Mimi ni kijana wa kiume Nina umri wa miaka 18, tatzo langu ni Kuwa Nina uzito pungufu na pia mwili Wangu ni mdogo kulinganisha na vijana wengine wa umri Wang. Nina kg 45 na urefu 160. Ninataka niweze kuongeza mwili wangu uzito, urefu na pia nguvu zangu za mwili ili nisiwe legelege kama nilivyo sasa hivi.
Nilifikiri kuanza mazoezi ya gym kungenisaidia Ila bado sijaamua kuanza naombeni ushauri nifanye vipi niweze kuongeza uzito na mwili Wangu pamoja na kuongeza nguvu na stamina kwa njia yoyote ile. Na pia ushauri kuhusu vyakula na lifestyle nzima.
Asante.
Nilifikiri kuanza mazoezi ya gym kungenisaidia Ila bado sijaamua kuanza naombeni ushauri nifanye vipi niweze kuongeza uzito na mwili Wangu pamoja na kuongeza nguvu na stamina kwa njia yoyote ile. Na pia ushauri kuhusu vyakula na lifestyle nzima.
Asante.