Msaada kuhusu mashine za kuchomea vyuma [welding machine]

Msaada kuhusu mashine za kuchomea vyuma [welding machine]

mwanga mweusi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
287
Reaction score
472
Kuna kitu hua nashindwa kuelewa kuhusu hizi mashine kuna hizi mashine za kichina kwanzia laki na nusu nakuendelea je zinatofautiana nini wakati zote zina Current sawa ? Kwann zitofautiane bei na kuna hizi za kusuka nazo zina tofauti na hizi za kichina kwenye utendaji? Je mtu alichoma kwakutumia haka kamashine ka laki na nusu na mwingine akachoma kwa hizi za kusuka kutakua na utofauti? .

Mimi nimenunua haka kadogo kabisa ila sikaelewi mara katoboe toboe mara stick inatenate shida nini? Wakuu
 
Umevamia fani siyo yako au bado hujajua jinsi ya kuunga vyuma na kubalance moto
 
sasa shida mbona inaonekana ni wewe na sio machine.
 
Back
Top Bottom