ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Wadau kuna hizi machine za kamali za wachina zimetapakaa kila Kona ya mijinI hadi vijijini na wenyewe utawakuta na harrier na Krueger wanakusanya hela.
Je, hizi mashine Serikali wanapataje mapato yao na zinaingizwaje nchini na zina usimamizi gani wa Serikali maana hawa jamaa wanapata hela sana.
Je, kuna marejesho Serikalini wanfanya au mradi wa mtu maana yake naona watu wapo kimya kabisa, hebu tuangalie hili tulisemee kuna harufu moja nzito kwenye hili.
Je, hizi mashine Serikali wanapataje mapato yao na zinaingizwaje nchini na zina usimamizi gani wa Serikali maana hawa jamaa wanapata hela sana.
Je, kuna marejesho Serikalini wanfanya au mradi wa mtu maana yake naona watu wapo kimya kabisa, hebu tuangalie hili tulisemee kuna harufu moja nzito kwenye hili.