The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,473
- 6,843
Ndugu naombeni msaada kuhusu hivi vidude maana sasa nina wiki ya pili sina umeme kwangu hii Luku ilizima gafla nikawaita Tanesco wamekuja wanasema tulichomeka vitu vinavyotumia umeme sana hivyo hii mita ndani kwa ndani imejilock kuifungua wameniambia watanitumia namba ya kufungulia ila sasa ni wiki ya pili sijapata hizo namba kila nikiwapigia au kwenda naambiwa nitatumiwa hizo, kwa mwenye uelewa kidogo please naona kama wananitengenezea mazingira ya rushwa.