Mgjd
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 531
- 95
Wandugu naombeni kwa wale wazoefu wa Tv,nijuzeni kuhusu UIMARA WA ILE GLASS SCREEN YA TV ZA LCDs ukilinganisha na zile tulizozoea za CRT/CHOGO. Aidha kama ni delicate sana ama strong enough to utilise them in the rough home. Si unajua mambo ya watoto ndani ya nyumba? Ya Chogo wanatumia wawezavyo hata bahati imegongwa na kitu bado ina survive. Vipi kwenye hz HD TVs/LCDs.