freeboy
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 242
- 191
Wanabodi nawasalimu,
Ndugu zangu napenda kuuliza utaratibu wa kuomba kuhama chuo kwa mtu aliyepangiwa chuo na NACTE.
Kwa mujibu wa maelezo ya NACTE kama ilivyoelezwa hapa chini:
Na tangazo likaendelea kujieleza kama hapo chini:
Maswali la Msingi:
1. Je mwanafunzi anayetakiwa kuthibithia ambaye anataka kuhama chuo na kozi aliyochaguliwa na NACTE itakuaje ambapo atakua tayari kathibitisha ila ajabahatika kupata nafasi ya kozi/chuo anachotaka kuhamia. ?
AU
2. Je huyu mwanafunzi akiamua kuomba tena katika chuo/kozi anachitaka kusoma aitaleta mgongano wowote na selection yake ya NACTE (Bila ya kuconfirm ile nafasi ya NACTE) ?
3. Je mwanafunzi mwenye F ya math anaweza kusoma clinical officer ?
Naomba kuwasilisha.
Ndugu zangu napenda kuuliza utaratibu wa kuomba kuhama chuo kwa mtu aliyepangiwa chuo na NACTE.
Kwa mujibu wa maelezo ya NACTE kama ilivyoelezwa hapa chini:
Na tangazo likaendelea kujieleza kama hapo chini:
Maswali la Msingi:
1. Je mwanafunzi anayetakiwa kuthibithia ambaye anataka kuhama chuo na kozi aliyochaguliwa na NACTE itakuaje ambapo atakua tayari kathibitisha ila ajabahatika kupata nafasi ya kozi/chuo anachotaka kuhamia. ?
AU
2. Je huyu mwanafunzi akiamua kuomba tena katika chuo/kozi anachitaka kusoma aitaleta mgongano wowote na selection yake ya NACTE (Bila ya kuconfirm ile nafasi ya NACTE) ?
3. Je mwanafunzi mwenye F ya math anaweza kusoma clinical officer ?
Naomba kuwasilisha.