Msaada kuhusu kupata copy ya kitambulisho cha NIDA

Msaada kuhusu kupata copy ya kitambulisho cha NIDA

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,021
Reaction score
16,590
Nawezaje pata soft copy ya kitambulisho changu cha NIDA maana hii huduma naona kama imesitishwa mtandaoni.

Je, nikienda kwenye ofisi za NIDA wilayani naweza patiwa hii kitu maana ninaihitaji sana kwa sasa.
 
Mbona mapema bwashee wengine tangu march 2019 hatujapata orgnal ukiwafes wanatoa lugha chafu we kama una shida nenda mitaa ya kariakoo upate ya kufoji ilimradi una namba
Utafoji vipi mkuu wakati kuna QR codes
 
Ina maana utoaji was Vitambulisho Umesitishwa kwanza tumeishia kupata no za Vitambulisho?

Tanzania kula kitu huwezekana.

Wako wapi waliopewa Tends ya Mamilioni ya kututengenezea Vitambulisho?
Only in Tanzania tu Walahi!

 
Nawezaje pata soft copy ya kitambulisho changu cha NIDA maana hii huduma naona kama imesitishwa mtandaoni

Je nikienda kwenye ofisi za NIDA wilayani naweza patiwa hii kitu maana ninaihitaji sana kwa sasa
Uko wapi
 
Ina maana utoaji was Vitambulisho Umesitishwa kwanza tumeishia kupata no za Vitambulisho?
Tanzania kula kitu huwezekana.

Wako wapi waliopewa Tends ya Mamilioni ya kututengenezea Vitambulisho?

Only in Tanzania tu Walahi!
Ndio bongo hiyo mkuuu
 
Hii huduma tulibahatika awali kabisa! Kwasasa hawana hiyo huduma.
 
Nawezaje pata soft copy ya kitambulisho changu cha NIDA maana hii huduma naona kama imesitishwa mtandaoni

Je nikienda kwenye ofisi za NIDA wilayani naweza patiwa hii kitu maana ninaihitaji sana kwa sasa
Kwani kama number tayari unayo ukiingia website ya nida si unaona softcopy ya kitambulisho chako then una print? au iyo website haifanyi kazi au unataka original?
 
Website zote za nida hazifanyi kazi, mwenye anauni za mkurugenzi wa nida naomba anisaidie.
 
Back
Top Bottom