Mkuu shida unajua nini? Wauzaji wanasema wana roku Tv lakin ukifka dukani sio rokuZipo mkuu sema price kidogo ndo ipo juu ukiwa na almost 900k unapat
hata ukiwa na 600k unapata naona kwa sasa zipo kwenye punguzo beichee
View attachment 1068985
Tcl 40" Led Smart Tv - Black
LCD Smart TV - 40\" BlackAccess Ultra HD and smart functionsWith its minimalistic design, the TCL P6000 is the ideal partner for every home and provide you the best of television. You can also enjoy Netflix and YouTube in 4K HDR quality, which is 4 times more details than in Full HD. Its HDR...www.jumia.co.tz
View attachment 1068984
duh jaribu kuangalia visibility ya hotsport yako kwenye simu huenda ukawa umeweka authenticated users onlyNi mpya
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
vipi hao jumia,Mkuu shida unajua nini? Wauzaji wanasema wana roku Tv lakin ukifka dukani sio roku
Hata amazinglifestyle wale wa sinza,wanapost insta TCL roku TV ,sasa nenda dukani kwao uone unachokutana nacho.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Unafanyaje kupata hizi channel za ndani , Nina tcl lakini sijaiona hiyo featureTCL smart tv zipo fresh hapa Nnayo moja hivi inch 32 sema sio roku tv. yenyewe ina linux haina android ila ina Netflix,youtube etc
ipo fresh
vile vile ina kang'amuzi ndani kwa ndani naweza kupata ITV,Capital,Eatv,star tv na nyinginezo
Yaa au utafute roku stick ufunge mwenyew kweny tv yakovipi hao jumia,
au kama vipi ni bora utafute tuu Tv Box Kama unataka kufaidi yanayopatikana kwenye smart tv za samsung
yeah yote yanawezekanaYaa au utafute roku stick ufunge mwenyew kweny tv yako
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
ni smart tv? kama ndio chomeka antena the we source iwe Tv the fanya auto search channel za local zitakujaUnafanyaje kupata hizi channel za ndani , Nina tcl lakini sijaiona hiyo feature
Ila si advice kutumia roku kwa sasa wamepiga fyagio la maana, kuna apps kibao wamezitoa hata kusideload huwezi. Labda kama unataka box la netflix na youtube tu, maana hata amazon prime kwa huku kwetu wameitoa.Yaa au utafute roku stick ufunge mwenyew kweny tv yako
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Poa asante nitajaribu hiyo ,ni smart tvni smart tv? kama ndio chomeka antena the we source iwe Tv the fanya auto search channel za local zitakuja
ppPoa asante nitajaribu hiyo ,ni smart tv
Ukitaka kujua ukubwa wa Ram na Internal storage ktk Tcl unacheki wapi ninayo tcl smart TV inch 32zinakuwa kama na application (standalone) ambayo inaitwa roku inayokuwezesha ku stream channel karibu 2500
inakuwa na vitu kama WatchESPN Netflix n.k
ukitofautisha na hii yangu ina linux os ram 750mb internal storage 4gb yenyewe haina vitu vingi sana ila netflix,youtube vipo pia store ipo kwa ajili ya kudownload apps kwa mimi inanitosha
search google aina ya tv yako ndio utajuaUkitaka kujua ukubwa wa Ram na Internal storage ktk Tcl unacheki wapi ninayo tcl smart TV inch 32
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazipataje hizo ITV star na wengineo. Hebu nipe mbinu mkuu?TCL smart tv zipo fresh hapa Nnayo moja hivi inch 32 sema sio roku tv. yenyewe ina linux haina android ila ina Netflix,youtube etc
ipo fresh
vile vile ina kang'amuzi ndani kwa ndani naweza kupata ITV,Capital,Eatv,star tv na nyinginezo
Ao maboya ndio nimenunua TCL kwao walinifanyia hivyo hivyo. Wakaniuzia GoLive Tv ubaya nilimuagiza sista anichukulie. Ningeenda mwenyewe ningeikataa!Mkuu shida unajua nini? Wauzaji wanasema wana roku Tv lakin ukifka dukani sio roku
Hata amazinglifestyle wale wa sinza,wanapost insta TCL roku TV ,sasa nenda dukani kwao uone unachokutana nacho.
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Hahah polee sana mkuu..hawa jamaa manaziAo maboya ndio nimenunua TCL kwao walinifanyia hivyo hivyo. Wakaniuzia GoLive Tv ubaya nilimuagiza sista anichukulie. Ningeenda mwenyewe ningeikataa!
simple sana mkuu chomeka antena kwenye tv yako then source weka iwe TV kisa nenda setting >>channel search hapo search digital channels tuu zitakuja kama channel 67 sema zingine ni za star times zipo scrambled ila za IPP media zote zinashika na star tv pia na channel moja ivi ya didiUnazipataje hizo ITV star na wengineo. Hebu nipe mbinu mkuu?
Hongera mkuu, kuna mdau kasema chomeka antenna tu kisha set kwenye tv uanze ku search channelsNimefanikisha kupata tcl leo kama nilivyoitaji sasa iko king'amuzi cha ndani ya tv na napataje chanel za kibongo kama itv??View attachment 1070682
Sent using Jamii Forums mobile app