Msaada kuhusu kuhama combination CBG to PCB

Msaada kuhusu kuhama combination CBG to PCB

Soma CBG tuu mkuu huko PCB utaenda kujichosha tuu kijana wangu
Kama unapenda fani ya afya sana nenda chuo tuu kasome hiyo kozi ya afya unayotaka
Ila ushauri wangu ni kwamba kasome CBG tuu
 
Soma CBG tuu mkuu huko PCB utaenda kujichosha tuu kijana wangu
Kama unapenda fani ya afya sana nenda chuo tuu kasome hiyo kozi ya afya unayotaka
Ila ushauri wangu ni kwamba kasome CBG tuu
Sawa mkuu ,,,, ila kwa CBG course nzur ninayoiona ni vetenary medicine peke yake
 
Tatizo CBG hausomei course za afya chuo kikuu.. namm lengo langu ni kuw pharmacist
Daaaa ndg yangu sisi tumepitia hapo na tulikuw na mdogo kama zako,labda niingie direct kweny ushauri,ukisoma CBG n rahisi zaid kutoboa kuliko PCB na pia sio kwel kwamba utasoma pharmacy usiposom PCB,pambana na hiyo CBG Kule physics n jini LA maangamizi,achana na PCB kabsa
 
Daaaa ndg yangu sisi tumepitia hapo na tulikuw na mdogo kama zako,labda niingie direct kweny ushauri,ukisoma CBG n rahisi zaid kutoboa kuliko PCB na pia sio kwel kwamba utasoma pharmacy usiposom PCB,pambana na hiyo CBG Kule physics n jini LA maangamizi,achana na PCB kabsa
Pharmacy unasoma bla physics??
 
Kijana kama unaamini utaweza kufaulu vizuri unaweza kuhama maana ili kwenda Bpharm lazima kwanza uwe na point 8,yaani upate kuanzia one ya tatu hadi two ya kumi tu..bado competition..so inabidi ufaulu vizuri sana..UFAULU VIZURI,,Yaani labda one ya 8 kupanda juu.

Mind you,Bachelor Degree ya Pharmacy inatolewa na vyuo vinne tu bongo,so competition sio ya kitoto..na hawachukui wanafunzi wengi kihivyo.

√Muhas

√Bugando

√St.John

√ Kampala [hakijadahili hivi karibu]

Advance physics inataji moyo,la sivyo unaweza kutamani kuhamia tena CBG..
 
Kijana kama unaamini utaweza kufaulu vizuri unaweza kuhama maana ili kwenda Bpharm lazima kwanza uwe na point 8,yaani upate kuanzia one ya tatu hadi two ya kumi tu..bado competition..so inabidi ufaulu vizuri sana..UFAULU VIZURI,,Yaani labda one ya 8 kupanda juu.

Mind you,Bachelor Degree ya Pharmacy inatolewa na vyuo vinne tu bongo,so competition sio ya kitoto..na hawachukui wanafunzi wengi kihivyo.

√Muhas

√Bugando

√St.John

√ Kampala [hakijadahili hivi karibu]

Advance physics inataji moyo,la sivyo unaweza kutamani kuhamia tena CBG..
Vpi kuhusu doctor of medicine
 
Mkuu mbona unamyumbisha dogo?Yani asome advance halafu kwa sababu anataka kusoma Pharmacy arudi kusoma diploma?

Mwambie ukweli kwamba kama anataka kusoma degree ya Pharmacy moja kwa moja asome PCB

Akisoma CBG ataishia environmental health na kozi za kilimo za SUA huko

Hakuna maana ya kusoma advance halafu urudi kusoma diploma dogo kama unajiamini kasome PCB kama uwezo mdogo nenda kasome diploma utajiendelezaga huko mbeleni
Hapo ukitaka phamarcy atatumia cheti cha olevrl kusoma diploma ndg,but option nzur kwak n hiyo CBG
 
Mkuu mbona unamyumbisha dogo?Yani asome advance halafu kwa sababu anataka kusoma Pharmacy arudi kusoma diploma?

Mwambie ukweli kwamba kama anataka kusoma degree ya Pharmacy moja kwa moja asome PCB

Akisoma CBG ataishia environmental health na kozi za kilimo za SUA huko

Hakuna maana ya kusoma advance halafu urudi kusoma diploma dogo kama unajiamini kasome PCB kama uwezo mdogo nenda kasome diploma utajiendelezaga huko mbeleni
Ahsante San kwa busara Zak chifu,but mi nilisema hyo kama option kwamba asome CBG but the best ni iyo ya kutumia o level result kuliko asome PCB,nafiki hoja yako imerekebisha nilichokuwa naamaanisha chifu,your right 100% big up chifu
 
Physics ya advance ni jini mkata malengo kabisa
hhahahahahaha..mkuu umenikumbusha mbali sna msemo huo jamaa angu alikuwa anautumia, baada ya ticha kutoka class halfu jamaa katoka empty baada ya pindi kuisha.ni noma sana
 
Mkuu mbona unamyumbisha dogo?Yani asome advance halafu kwa sababu anataka kusoma Pharmacy arudi kusoma diploma?

Mwambie ukweli kwamba kama anataka kusoma degree ya Pharmacy moja kwa moja asome PCB

Akisoma CBG ataishia environmental health na kozi za kilimo za SUA huko

Hakuna maana ya kusoma advance halafu urudi kusoma diploma dogo kama unajiamini kasome PCB kama uwezo mdogo nenda kasome diploma utajiendelezaga huko mbeleni
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom