Croson
Member
- May 29, 2020
- 13
- 1
Mimi nmemaliza kidato cha nne mwaka jana 2019 na matokeo yangu yakatoka mwaka huu 2020 ufaulu ulkua n civ - C Hist - D Geo - C Kisw - C Eng - C Chem - C Bio - C Phy - D Math - D jumla nkawa na division 3 ya point 22 na jinsia n male.
Lakin baada ya post za first selection kutoka wakanpangia chuo cha mipango mwanza n mm ndoto zangu zilikua kusoma PCB au CBG Je naeza kupata nafasi ya kupangiwa second selection...????
Lakin baada ya post za first selection kutoka wakanpangia chuo cha mipango mwanza n mm ndoto zangu zilikua kusoma PCB au CBG Je naeza kupata nafasi ya kupangiwa second selection...????