ndaga boy mtemi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2018
- 586
- 205
Kuna kafile kadogo kana 32kb, nimeshindwa kukaweja hapa but hakahitaji ku root simu, game gurdian au lucky patcher.Habarini wadau asew nilikuwa natafuta sana jinsi ya ku hack hili game dream league 2019 bila ku root simu na hatimaye nimefanikiwa nina coins ambazo naweza kusajili mchezaji yoyote na kwa sasa ndo kwanza nipo ligi daraja la kwanza lakini nimesajili paka messi Etc kama coins znavyoonekana hapo kwenye pichaView attachment 1030109
Sent using Jamii Forums mobile app
Nielekeze mkuuHabarini wadau asew nilikuwa natafuta sana jinsi ya ku hack hili game dream league 2019 bila ku root simu na hatimaye nimefanikiwa nina coins ambazo naweza kusajili mchezaji yoyote na kwa sasa ndo kwanza nipo ligi daraja la kwanza lakini nimesajili paka messi Etc kama coins znavyoonekana hapo kwenye pichaView attachment 1030109
Sent using Jamii Forums mobile app