Wadau naomba kufahamishwa kidogo kuhusu ipad kwa lugha nyepesi tu achana ya ile ya kwenye website na ipi faida ya kutumia ipad ukilinganisha na Laptop?
Pia nimeona ipad kuna wanayosema 32Gb na 64GB hizi zinawakilisha nini......na kwa hapa Dar es salaam wapi naweza kununua na kwa bei gani?
Pia nimeona ipad kuna wanayosema 32Gb na 64GB hizi zinawakilisha nini......na kwa hapa Dar es salaam wapi naweza kununua na kwa bei gani?