Olsea
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 452
- 250
Habari Wakuu naombeni ushauri,
Nina ka Friji kangu kadogo tatizo nikiweka vitu havipati ubaridi kabisa ila ile sijui evaporator pale juu inakuwa na ubarid saa nying hadi panaganda vibarafu vidogo ila vitu nilivyoweka havipati ubarid kabisa.
Nipo Mkoani huku Fundi naemjua simuelewi naona mbabaishaji tu.
Nina ka Friji kangu kadogo tatizo nikiweka vitu havipati ubaridi kabisa ila ile sijui evaporator pale juu inakuwa na ubarid saa nying hadi panaganda vibarafu vidogo ila vitu nilivyoweka havipati ubarid kabisa.
Nipo Mkoani huku Fundi naemjua simuelewi naona mbabaishaji tu.