Dah...we jamaa wewe!! Mungu huwa halali, unapata dhambi!!Mpaka mi naondoka niliacha mambo yakiwa hivi..
Form 6 - nyota mbili (luteni) kuna mtu namjua kapata hicho cheo.
Bachelor degree - nyota tatu (captain).
Lazima apite Jkt miezi 6 ya kujitolea, baada ya hapo atapiga kozi ya TPDF yaani bakabaka kwa muda usiopungua miezi 4 hadi 6. Baada ya hapo ndio ataenda monduli kupiga kozi ya cadet officer kwa muda miezi 9. Baada ya mlolongo wote huo ndio ataweza kuwa afisa wa jeshi.
Kuhusu mshahara nakumbuka captain wetu aliyekua na nyota 3 alikua anachukua m3 kasoro hivi, kutokana na kauli mwenyewe. Na wenye nyota 2 inacheza kwenye m2 mbili kasoro point kidogo (kwa hapa am not sure).
Naongea from my experience ya miaka 5 nyuma, labda mambo yabadilike hivi sasa.
I hope nimesaidia.
Hmmm...okay its yo experience we can't judge you.Mpaka mi naondoka niliacha mambo yakiwa hivi..
Form 6 - nyota mbili (luteni) kuna mtu namjua kapata hicho cheo.
Bachelor degree - nyota tatu (captain).
Lazima apite Jkt miezi 6 ya kujitolea, baada ya hapo atapiga kozi ya TPDF yaani bakabaka kwa muda usiopungua miezi 4 hadi 6. Baada ya hapo ndio ataenda monduli kupiga kozi ya cadet officer kwa muda miezi 9. Baada ya mlolongo wote huo ndio ataweza kuwa afisa wa jeshi.
Kuhusu mshahara nakumbuka captain wetu aliyekua na nyota 3 alikua anachukua m3 kasoro hivi, kutokana na kauli mwenyewe. Na wenye nyota 2 inacheza kwenye m2 mbili kasoro point kidogo (kwa hapa am not sure).
Naongea from my experience ya miaka 5 nyuma, labda mambo yabadilike hivi sasa.
I hope nimesaidia.
Hahaha kazi ya wito hiyo ila siku hizi hakuna wito tenaMnaopenda kwenda jeshi sababu ya mishahara kuna siku mtagharimika tu... Every choice has its consequences.
I wish jeshi letu lingekuwa kama marekani. Maana wenzetu mpaka magenral wanaenda operation.
Bongo ingekuwa hivo basi watu wangekuwa wanaenda jeshini kwa kujitoa na siyo kwa ajili ya njaa ya pesa...
Duuh kote huko? Hiyo uzalendo ndo course gani?Unaanza uzalendo, ukuruta, service man/girl, bakabaka, then inakuja course ya maafisa anaenda. Ila mambou yamebadilika inaweza chukua muda kupata nyota. Kulingana na nlivyopita mujibu wa sheria,![]()
😉