Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,988
- 9,213
hujanielewa, kama unataka kusoma engineering za sua(Agriculture Engineering, water and irrigation engineering nk) kwa mtu wa EGM anaweza kusoma ila sharti matokeo yake ya O Level awe amepata angalau C kwenye Physics na Chemistry. kwa matokeo yako hauwezi kusoma hizo kozi za engineering za sua.
Apo nimekuelewa mkuu ahsante
Ndio maana nakwambia kasome CBG