Msaada kuhusu dusupay

Strong ladg

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
828
Reaction score
2,029
Wakuu habari,niende kwenye mada. Ambae ana uzoefu na hawa DusuPay naomba anishirikishe tafadhali. Je wako vizuri? Pesa zinafika kwa wakati?
Na pia je wanaruhusu utengeneze Payment links kama hauna document za biashara?
Mbarikiwe.
 
Wakuu habari,niende kwenye mada. Ambae ana uzoefu na hawa DusuPay naomba anishirikishe tafadhali. Je wako vizuri? Pesa zinafika kwa wakati?
Na pia je wanaruhusu utengeneze Payment links kama hauna document za biashara?
Mbarikiwe.
Hii post kwenye Tech/science forums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…