Box 2
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 506
- 117
Habari wana jf,nimenunua dstv decorder nje ya Tanzania,naomba kujuzwa ili kukitumia ni lazima ninunue na dish la dstv ama naweza funga dish lolote?,naomba kujuzwa pia ni dish lipi zuri ama bora ikibidi na bei pia,ukubwa wa dish ndio ubora ama yote yana ubora sawa,ntashukuru kwa majibu mazuri.