yahyakabila
Member
- Aug 11, 2016
- 19
- 10
Nina elimu ys form six nataka kusoms ualim diploma ya secondar lkn nadikia mwaka huu hakuna diploma ya secindar nimeshauriwa nichukue diploma ya msingi, kwahyo nikisoma hiyo diploma ya msingi nikifaulu vizuri naweza kuja kuomba digree ya ualim wa secindary?