Msaada kuhusu degree courses za CBG

Msaada kuhusu degree courses za CBG

C-E
B-C
G-D

2-12,akasome nn huyu wapendwa?

Msaada tafadhari
 
Jamani msaada

Chemistry-E
Biology -C
Geography-D

Akasome nini huyu jamani?

Je? Biotechnology anaweza soma? Nursing je?

Au ipi kozi ya mifugo.
Mawazo
 
Jamani msaada

Chemistry-E
Biology -C
Geography-D

Akasome nini huyu jamani?

Je? Biotechnology anaweza soma? Nursing je?

Au ipi kozi ya mifugo.
Mawazo
Ingawa
Sua
Dit
Inaweza kuwa sehemu yake bora zaid
Bsc in Chemistry pia yumooo
 
Jamani msaada

Chemistry-E
Biology -C
Geography-D

Akasome nini huyu jamani?

Je? Biotechnology anaweza soma? Nursing je?

Au ipi kozi ya mifugo.
Mawazo


Mzee bila C ya chemistry kupata hyo course no jau kinoma
 
Course zote zinazohusu faculty ya afya ukiachana na MD na DDS pekee. zinazobak zote at least uwe na C ya chemistry.
Aah ok nimekupata lakn si ni kwa PCB tu au ata CBG?
 
Unasoma mkuu,,Mimi kuna dogo langu anasoma Pharmacy na hakusoma Physics
Pharmacy bila physics husomi...!!! CBG siku hizi comb ya ovyoo mzee utaishia kwenda kusomea kutibu Mbuziii
 
Wakishafungua maombi ya vyuo hebu jaribu kutembelea mabanda yao ya vyuo husika wakupe mwanga, kama upo mkoani tembelea maonyesho ya nane nane huwa wanakuwa na mabanda pia
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji120]
 
Back
Top Bottom