Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo course kwa sasa ni PCM na PCB tena kwa ufaulu wa Chemistry.Yan hapo nimeuliza kam kuna mtu amechaguliwa kusoma izo course
Mbuzii sio Sciencee..???Pharmacy bila physics husomi...!!! CBG siku hizi comb ya ovyoo mzee utaishia kwenda kusomea kutibu Mbuziii
Ni science tena ngumu sanaa ila mleta madaa hana interest na wanyamaaa... Anataka adili na binadamuMbuzii sio Sciencee..???
Unafahamu career counseling.. na criteria zake atlest 8 tu???Ni science tena ngumu sanaa ila mleta madaa hana interest na wanyamaaa... Anataka adili na binadamu
Kama lengo lake ni binadamu inabidi achukue degree ya Biology,baada ya hapo arudi tena kwenye lengo lake muhimu tu awe na lower second.Ni science tena ngumu sanaa ila mleta madaa hana interest na wanyamaaa... Anataka adili na binadamu
Nimekuelewaa saanaaa..Kama lengo lake ni binadamu inabidi achukue degree ya Biology,baada ya hapo arudi tena kwenye lengo lake muhimu tu awe na lower second.
Wakishafungua maombi ya vyuo hebu jaribu kutembelea mabanda yao ya vyuo husika wakupe mwanga, kama upo mkoani tembelea maonyesho ya nane nane huwa wanakuwa na mabanda piaDegree ya kemia haiendani na pharmacy wala MD?
kwa mtu aliyepata 3 ya kumi na tatu anaweza soma animal doctor (BMVR)Nursing na pharmacy ni PCB tu sikuiz lbd kama imebadilishwa tena this year