DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,882
Na ndo eneo ambalo graduate akiwa competent hasa in programming hawezi kuzurura mtaani. Na ni course ambayo mtu anaweza kujiajiri kwa mtaji wa komputer yake na ujuzi.
Naomba unifafanulie hapa, kivipi ukiwa competent huwez kuzurura na unawezaje kujiajiri kwa kuwa na PC tu, thanks.