nina compaq presario ilikuwa na windows vista nikabadilisha nikaweka ubuntu lakini USB ports zote hazikufanya kazi baada ya kubadilisha, sasa nataka kurudisha vista inashindikana, nimejaribu windows zote kila inapoanza ku-install windows inaleta blue screen na kuandika "bios is not full ACPI complient" ukiweka linux inakubari vizuri ila USB port hazifanyi kazi. naomba mawazo yenu wadau.