Na samaki kibao, asubuhi, mchana na usiku ni matangazo ya samaki tu. Kambale, perege, njuju, kamnyomeke.Hiko ni kipya tu dogo nenda kapige shule.. Umepta chuo kilichopo maeneo yasiyo na gharama za maisha, Kule ubwabwa ni shng Jero tu sahani tele..
Unaweza kuwekeza na kilimo kwenye mashamba ya mpunga kama uko na interest ya kufanya kilimo
Umechagulia kwa ngazi ipi Cheti, Diploma, Degree Au MastersJamani nimechaguliwa chuo cha St Francis Ifakara... Anaekijua au aliesoma au anaesoma aniambie kikoje.
pako poa sana zaidi hata ya Muhimbili naweza kusemaBachelor MD
UONGOpako poa sana zaidi hata ya Muhimbili naweza kusema
ni ww na msuli wako tu
Hiko ni kipya tu dogo nenda kapige shule.. Umepta chuo kilichopo maeneo yasiyo na gharama za maisha, Kule ubwabwa ni shng Jero tu sahani tele..
Unaweza kuwekeza na kilimo kwenye mashamba ya mpunga kama uko na interest ya kufanya kilimo
Mengine sawa ila kwa mchele kilo 1200 kwenda juuUpande wa menyu utakula had uache
Mchele kilo Jero
Samaki wa buku unajaza besen zima
Kama mpenzi wa burudan Kuna vigodoro vya kuzid
Wahi mapema Kuna Hostel ya nyota moja imejengwa mwaka huu I think mtakuwa wa Kwanza kuingia
Upande wa Hospital zipo Tena za hadhi ya juu
Chuo kina hospital mbili
Samaritan Cancer hospital na St Francis Hospital
Mandhari ya chuo cyo mazuri kiviiiiile
Ila utaenjoy
Asante sana😊Upande wa menyu utakula had uache
Mchele kilo Jero
Samaki wa buku unajaza besen zima
Kama mpenzi wa burudan Kuna vigodoro vya kuzid
Wahi mapema Kuna Hostel ya nyota moja imejengwa mwaka huu I think mtakuwa wa Kwanza kuingia
Upande wa Hospital zipo Tena za hadhi ya juu
Chuo kina hospital mbili
Samaritan Cancer hospital na St Francis Hospital
Mandhari ya chuo cyo mazuri kiviiiiile
Ila utaenjoy
Ohhh asante sana sana sanaHongera sana ni chuo kizuri sana na Wana hospital nzuri sana piaa kwa sasa wameongeza (GOOD SAMALITAN CANCER HOSPITAL) Kama eneo la practical.
Japo walifungia kipindi flan hiv but now wameruhusu.
Kuhusu menyu wory out, jipange kula wali kwa bei nafuu
HONGERA SANA.
Thaaank yoouUpande wa menyu utakula had uache
Mchele kilo Jero
Samaki wa buku unajaza besen zima
Kama mpenzi wa burudan Kuna vigodoro vya kuzid
Wahi mapema Kuna Hostel ya nyota moja imejengwa mwaka huu I think mtakuwa wa Kwanza kuingia
Upande wa Hospital zipo Tena za hadhi ya juu
Chuo kina hospital mbili
Samaritan Cancer hospital na St Francis Hospital
Mandhari ya chuo cyo mazuri kiviiiiile
Ila utaenjoy
Mchele rejareja unaanzia 1000.. jumla hadi 800Mengine sawa ila kwa mchele kilo 1200 kwenda juu