Habari....kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nimekuwa nikisikia kama upo uwezekano wa kupata channel bila ya kulipia kupitia Cable TV na ninatumia king'amuzi cha AZAM ila na wao hawakusita kutolea taarifa ya vitisho kwa wale ambao watabainika kutoa huduma ya cable TV SO kwa anayefahamu huu mfumoulivyo na unafanyaje kazi funguka tu............