SuperHb
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 897
- 697
Habaru zenu...
Wataalamu naombeni msaada wenu
1.Hatua za kufungua na kufunga tairi
2.Unabonyeza wapi ili ufungue BONETI na BODI ya Gari yoyote kama
Najua humu kuna wataalamu naombeni msaada wenu wa ufafanuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalamu naombeni msaada wenu
1.Hatua za kufungua na kufunga tairi
2.Unabonyeza wapi ili ufungue BONETI na BODI ya Gari yoyote kama
Najua humu kuna wataalamu naombeni msaada wenu wa ufafanuzi
Sent using Jamii Forums mobile app