inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 500
- 420
Wadau habari zenu,najua humu kuna watu wabobevu sana wa masuala ya magari.Nina gari yangu Toyota Vitz Old Model.Ghafla tu speed meter na km haziomi kwenye dash board,km zipo zile zile na speed ni zero.Dash board ni ya digital.Nimeenda kwa mafundi umeme wa magari wawili tofauti.Kila mmoja naona amejaribu kuangalia sensor za kwenye miguu n.k ila wote wameishia ku conclude tatizo ni abs control module ndo imekufa.
Naombeni msaada,kwa uzoefu wenu je hiyo ndio case au kuna kitu wanamiss.
Naombeni msaada,kwa uzoefu wenu je hiyo ndio case au kuna kitu wanamiss.