Encysis Inc
Member
- Jul 31, 2019
- 87
- 117
Niko Mkoa Wa Kagera. Nahitaji Kuanzisha Biashara Ya Samaki wa Mapambo, Pia Utengenezaji wa Aquascape, Water Falls Pamoja Na Forest Ndani Ya Nyumba. Mwenye Ako Na Knowledge Anakaribishwa
Utoton nlikuwa mwiz wa samaki hawaGraduate wa SUA fursa hii kwenu
ShukraniKuna profession huwa naona akipost fb mambo ya aquarium atakua kasoma aquaculture SUA nikimpata nitakonekiti
Wajuzi karbuni
Ukienda ofisi za uvuvi eneo ulipo hasa ofisi ya mkoa kutana na afisa samaki atakupa taarifa nyingi sahihi
Noma SanaUtoton nlikuwa mwiz wa samaki hawa
Nakumbuka tukienda sehemu ambaz watu wanawafuga tukiwaiba tulikuwa tunawaweka mdomoni badaye kwenye kopo
Mambo ya gold fish, zebra, blackmore etc tumewakwalaa sana kwa mashuwaa
Ova