Msaada kuhusu bachelor science in nursing

Msaada kuhusu bachelor science in nursing

cpb

Senior Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
156
Reaction score
88
Naomba msaada kwa waliosoma bachelor of science nursing ajira zake zikoje kwa mtu aliemaliza degree maana sjawahi kuona tangazo la kazi zikiwahitaji hawa watalaam na inachukua mda gani kusoma hii kozi nahitaji ushauri wenu ili nijue kama naweza kuisoma nmefanya nimepata phy E, Chem C, Bios C.

Naomba mnisaidie kama hii kozi ina soko na uhitaji mkubwa na ukimaliza duties zake zinakuwa kama zile za wauguzi walio na certificate
 
Ajira ni direct ndio maana uoni matangazo yake japo hua yanatoka kwa baadhi ya hosptal mfano muhimbili, inachukua miaka minne na mmoja wa internship jumla mitano, kwa hizo alama sijui mahitaji ya chuo husika na kwa huu mwaka wanahitaji nn(ni vizuri usome guidebook ya tcu),

Uhitaji wake bado ni mkubwa kwa sababu waliosoma bachelor of science in nursing bado ni wachache, kwenye kazi unafanya zote hadi za mwenye certificate japo kuna baadhi uwezi kufanya( maana una degree na mara nyingi unakua incharge) Asante karibu kwenye fani.

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
kwa hizo alama hapo juu mkuu naweza pata mhimbili
 
Inategemea na ufaulu wa mwaka huu na waombaji, japo najua ni ngumu kidogo kwa hizo alama maana muhimbili wanachukua alama za juu, jaribu UDOM, BUGANDO na vyuo vingne

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Muhimbili tunaomba mfano wa ufaulu tusijisumbue kuomba. Nna chem c, biology C, pysics D, engl B, phy D, math D, Nutrition C, Swahili C the rest Cs
 
Omba na Kairuki pia watakuchukua kwa hyo coz pale ipo ila km ukikosa mkopo ada yake n ndefu sn kuna ndugu yng yupo anasoma pale coz hyo hyo mwaka wa 3 sasa

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Ajira zake ni direct mkuu,yaani we ukimaliza tu unakaa kusubiri kituo cha kazi
 
ni kozi nzuri omba na ajira zake popote duniani unafanya kazi hasa ukija fanikiwa to specialize kufanya kazi ndani ya ICUs
 
duties zake ni zipi au unafanya kazi kama muuguzi mwenye certificate
 
Omba kcm utapata naamini

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom