Msaada: Kuhama Marekani kwenda Australia au Canada

Msaada: Kuhama Marekani kwenda Australia au Canada

Si tunaongelea 1st world countries mkuu.

Hizo nchi nyingi ukiweza kuingia na kiasi fulani cha pesa au kununua property ya amount fulani unakuwa termed kama investor na unaqualify kupata PR, na ukihold PR kwa miaka kadhaa unaruhusiwa kuapply citizenship.

Na nchi nyingi ukiwa na PR nadhani unakuwa na haki zote kama raia except huwezi kupiga kura na haupewi passport.

Correct me if am wrong.

Mmh mmh sijui uko ulipo mkuu. With ref to Oz ili uwe investor at least uwe na AuD 500,000 ndio unapata visa ya investor. Hiyo ya kununua house ..labda
 
Wakuu hivi mtu akiingia Canada kama mkimbizi, akaishi kama mwaka mmoja au miwili akitaka kuhamia USA inawezekana??? na kule USA akioa na akiishi kama miaka nane akiomba uraia anaweza kupewa ???? Wakuu nisaidieni

Sijafika Cnd but am pretty sure kuna ugumu
 
me sina hata chakukushauri ila kuna watu wastreet wanajuaga sana izi mambo embu jichanganye na waafrica uko usijifungie ndani sana otherwise kila la heri
NB usije ukalogwa ukarudi bongo utapauka
 
me sina hata chakukushauri ila kuna watu wastreet wanajuaga sana izi mambo embu jichanganye na waafrica uko usijifungie ndani sana otherwise kila la heri
NB usije ukalogwa ukarudi bongo utapauka
Ok
 
Poleni na majukumu wanajamii, mimi ni mtanzania ninaishi Marekani Kwa Muda wa miaka 10 sasa!

Nimejaribu makaratasi Kwa njia ya kuoa wamenikatalia Mara tatu (sikubadilisha mwanamke) sasa nimeona naendelea kupata shida ya makaratasi lengo na nia ya kutafuta haya makaratasi ni niweze kwenda kuwasalimia wazazi nyumbani,

Ninaomba Kwa yoyote anaejua njia ya kuhamia Canada au Australia anisaidie (nimesoma na nina degree ya nursing)
Duh mara tatu pole sana anyway contact me
 
Mh.nikupe pole kwa changamoto uliyonayo..
Nakushauri ufanye yafuatayo kisha nijulishe.
1.Omba kama kusoma kama mwanafunzi hapa changamoto inakuja umri..au short trainng
2.Omba kama unakwenda kwenye mikutano au Makongamano.
3.Tafuta Australian au Canadian ambaye atakuandikia mwaliko wa kwenda kutembea..hapo majua wapo wengi ukiwatafuta utawapata wengi hata kwa kuwapa pesa kidogo.

No.3 hapo utakwenda kama tour ukifika utakutana na agencies wa kazi..watakuandalia mwaliko wa kupata kazi hapo utarudi Bongo na kuomba VISA upya.

Maombi yoyote ya Visa utakayomba sharti urudi Tza na kuombea Tza.maana hauna vibari vya kuishi hapo.
Zaidi ya hapo utatakiwa kubadilisha passport na jina lako kwa passport mpya uliyonayo umekwisha overstay..
Na ukiondoka US hauwezi rudi tena mpaka miaka 5 ipite au for life.
Angalizo:Fanya maamuzi sahihi for your future
 
Wewe sio Mtanzania. Unajua Kiswahili lakini sio cha Kitanzania. Neno makaratasi linatumika kwankuswahili cha congo, rwanda burundi. Tanzania tunatumia NYARAKA au HATI. Na kwa elimu yako usingeweza kukosea kirahisi kiasi hicho.
Hutaki kurudi kwenu kwa sababu ulikimbia na Tanzania sio kwenu.
 
Naomba kuuliza,mtu ambaye ameoverstay hawezi kupata vibali hata kama ameo?
Mara nyingi huwa ni kubahatisha...wakikubalia ni kwamba watakupigia hesabu toka siku uliyo kuwa overstay hadi siku unayokuwa umekwenda kuomba wakupige faine mara nyingi pesa huwa ni nyingi..na ukishidwa utakuwa deported au wakikukatalia utakuwa deported..

NOTE:Maelezo hayo yanategemeana nchi husika..kila nchi au majimbo yanasheria zake za uhamiaji.
 
Mh.nikupe pole kwa changamoto uliyonayo..
Nakushauri ufanye yafuatayo kisha nijulishe.
1.Omba kama kusoma kama mwanafunzi hapa changamoto inakuja umri..au short trainng
2.Omba kama unakwenda kwenye mikutano au Makongamano.
3.Tafuta Australian au Canadian ambaye atakuandikia mwaliko wa kwenda kutembea..hapo majua wapo wengi ukiwatafuta utawapata wengi hata kwa kuwapa pesa kidogo.

No.3 hapo utakwenda kama tour ukifika utakutana na agencies wa kazi..watakuandalia mwaliko wa kupata kazi hapo utarudi Bongo na kuomba VISA upya.

Maombi yoyote ya Visa utakayomba sharti urudi Tza na kuombea Tza.maana hauna vibari vya kuishi hapo.
Zaidi ya hapo utatakiwa kubadilisha passport na jina lako kwa passport mpya uliyonayo umekwisha overstay..
Na ukiondoka US hauwezi rudi tena mpaka miaka 5 ipite au for life.
Angalizo:Fanya maamuzi sahihi for your future
Wakuu na mi naombeni ushauri nikiingia Canada kama mkimbiz baadae naweza kuhamia Usa??? na baada ya kuishi Usa kwa miaka 8 nikomba uraia naweza kupewa???? kama sina criminal isue.
 
Wakuu na mi naombeni ushauri nikiingia Canada kama mkimbiz baadae naweza kuhamia Usa??? na baada ya kuishi Usa kwa miaka 8 nikomba uraia naweza kupewa???? kama sina criminal isue.
Inawezekana ila shida nikupata hiyo VISA ya Canada kuna kipindi fulani walichia sasa hivi wamebana kweli kweli..
NOTE:Maisha ya nje si rahisi kama tunavyoona kwenye TV ..Life ya kupigana sana na stress juu.
Bora ya kukaa bongo unaweza make life..Mchina amerahisisha kila kitu..Ulaya ilikuwa zamani si sikuhizi tena!
 
Wewe sio Mtanzania. Unajua Kiswahili lakini sio cha Kitanzania. Neno makaratasi linatumika kwankuswahili cha congo, rwanda burundi. Tanzania tunatumia NYARAKA au HATI. Na kwa elimu yako usingeweza kukosea kirahisi kiasi hicho.
Hutaki kurudi kwenu kwa sababu ulikimbia na Tanzania sio kwenu.
KWA KAULI KAMA HIZI HAPO JUU,KAMA UNA ROHO NYEPESI WAWEZA KUNYWA SUMU AISEEE
 
Sina criminal record yoyote,sijawahi kushikwa na police wala sijawahi kupata ticket. Nafanya kazi kama kawaida sijawahi kukosa kulipa kodi. Kinachonifanya nifikirie kuhama nchi ni nipate nafasi ya kurudi nyumbani kuwaona wazazi na kurudi.
Kwanini wanakukatalia papers?! Kuna kitu unaficha
 
Nilikuja kama mwanafunzi,sijawahi kupata green card sababu wamedenai kesi yangu mara tatu,nilioa ili kupata makaratasi miaka sita iliyopita ila sijafanikiwa na pia sijamtalaka mwanamke niliemuoa! Hapana sitajafikiria kurudi Tanzania Kwa sasa ila natafuta njia ambayo itanisaidia kupata makaratasi Australia au Canada!

Asante
Umeoa mwanamke raia wa nchi gani?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom